January 2017

Ndugu msomaji wa makala hii uatakuwa ni mmoja wapo wa wamiliki wa youtube channel na unafikilia itakuingiziaje pesa au umejalibu kujiunga umeshindwa na kukata tamaa karibu upate suruhisho la tatizo lako hap

VITU VIFUATAVO UNATAKIWA KUWA NAVYO

  • gmail account
  • youtube channel inayokidhi vigezo vya google adsense policy kama zifuatazo:
  1. usitupie video za porno au picha zinazohusiana na hzo
  2. usiweke music video wa mtu mwingine bila ridhaa yake
  3. Weka video ulizotengeneza mwenyewe au kama ya mtu mwingine basi uwe umepata ruhusa kutoka kwake
  4. Video ambazo zinabackground ya music wa mtu mwenye umiliki hairuhusiwi weka music wako ulioutengeneza wewe au upate ruhusa
HATUA ZA KUFUATA KUFUNGUA ACCOUNT YA GOOGLE(GMAIL)
  • Fungua gmail account kwa kuingia google gmail na ufuate maelekezo jinsi ya kufungua account, kama ujaweza comment hapo chini ntakuelekeza jinsi ya kufungua gmail  account
  • Baada ya kufungua gnail, Ingia youtube.com

  • Juu mkono wa kulia kuna sehemu imeandikwa sign in bofya hapo na ujiunge kwa kutumia gmail account.
  • Baada ya kujisajili bofya hapo hapo utaona sehemu imeandikwa creator studio bofya hapo
  • Baada ya hapo utaona ujumbe flan hvi bofya "You must create a channel to upload videos. Create a channel"
  • Baada ya hapo weka majina ya youtube channel yako afu bofya create channel
  • Mpaka hapo utakuwa umefungua youtube channel kinachofuata ni setting za kawaida kama logo na moving logo ni vya kawaida kwa msaada wa  watu wa graphics disign
  • Kushoto pembeni bofya channel afu ingia kwenye momentization weka enable
  • Itafunguka page ya momentization clicks "Get started"
  • kubali kwa kuweka tiki kwenye vibox afu bofya "i accept"
  • Setup adsense account yako sasa, sign in kwa email uliyofungulia youtube account, chagua lugha kubali
  • utapata sms hii
Your AdSense application is being reviewed. You will receive an email about the status of your application soon.






HAPO SUBIRIA WATAKUTAARIFU KWA EMAIL KUWA WAMEKUKUBALIA,

TRICKS

INGIA ADMOB.COM SAJILI ACCOUNT KWA EMAIL HII AFU ANGALIA STSTUS UTAKUTA VERIFIED. ADMOB NI PLATFORM YA GOOGLE INAYOHUSIANA NA APP MOMENTIZE

KWA MSAADA COMMENT HAPA CHINI 



kwanini  hard  disk  drive  inaonekana   imejaa  na kuna  data  chache  tu ndani yake,  je tatizo  ni nini haswa ?    karibu  kuangalia  tutorial  hii kwa  lugha ya kiswahili:  
imeandaliwa na:  shamir suleman
youtube:  shamir suleman                                          
      phone:   +255656848274  dodoma Tanzania  ( prohibited to sell)   2017 




 
                                       prepare your own tutorial:  play tutorial
all right received:  2017.                                                                                                                        
  • Video software
  •  
  • TV Tuners & Video Capture
ARTICLES DEBUT VIDEO CAPTURE SOFTWARE
  • Best video editing software play tutorial
  • tutorial is prepared by:  shamir suleman +255-656-848274 Dodoma Tanzania 

Debut Video Capture Software supports the following formats

AVI, WMV, ASF, MPG, 3GP, MP4, MPV and more


Najua kila mtu akifikia uamuzi wa kufungua blog au website lazima awe na malengo fulani na kikubwa zaidi huwa anafikilia baadae imlipe hiyo website/blog. kitu cha kwanza huwa wanaangalia jinsi gani anaweza kujiunga na adsense na akakubaliwa ili aweze kuingiza pesa. mara nyingi blog nyingi za kitanzania zinakataliwa kutokana na kutokuelewa vizuri vigezo vya kujiunga na hili campany kubwa duniani.

ADSENSE NI NINI?
Adsense ni campany ambalo linajiuhhusisha na kushapisha matangazo na kuyatangaza kwenye blog na website duniani. Ni campany linalomilikiwa na google ndio maana kwenye blogspot wameweka ta yao ya kujiunga moja kwa moja.Ni campany ambalo linalipa vizuri na halina longolongo katika kulipa.

HATUA  ZA KUFUATA ILI KUHAKIKISHA WANAKUKUBALIA KUWEKA MATANGAZO YAO KATIKA BLOG/WEBSITE YAKO.
  • KUTAMBUA VITU WANAVOVIITAJI NA AMBAVYO HAWAITAJI
  • KUFANYA APLICATION
  • KUWEKA ADS CODE KWENYE WEBSITE YAKO
  • KUFUATA SHERIA ZAO ILI KUHAKIKISHA HAWAKUZUII
  • KUFANYA APPLICATION YA PESA

TAMBUA ADSENSE TERMS AND POLICY 

Ndugu msomaji wa makala hii najua unajiuliza kwa nini nimeanza na hili? Kwa sababu nahitaji tujue campany linataka nini na halitaki nini ili unapoiangalia website yako unajua kuwa imekidhi vigezo aua laa.
  1. TERMS AND POLICY KABLA HUJAJIUNGA(Technical requirements)

Kutokana na google kuwa ni kampuni bora kwa advertiser na kuwathamini pia limeweka sheria zifuatazo ambazo website yoyote lazima ifuate ili waikubalie.
  • Use supported languages
Ndugu msomaji inatakiwa website yako itumie lugha ambazo adsense wameziruhusu ili kuweka matangazo yao hadi sasa bofya hapa kuona lugha hizo adsense supported language 
  • Prohibited content
Ndugu msomaji wa makala hii inatakiwa website yako isihusike na vitu vifuatavyo 
  1. adult content( pornography), 
  2. website inayochochea ugomvi (politics), 
  3. website inayohusu madawa ya kulevya,
  4.  Website inayohusu pombe na sigara
  5. Website inayohusiana afya-inayouza dawa zisizo thibitishwa,kutoa ushauri wa kupotosha, kuuza dawa online
  6. Hacking and cracking content - Haitakiwi kuhusika na kucrack na kuhack any thing so haziluhusiwi website za namna hyo
  7. Pages that offer compensation programs-Hitakiwi website yako iwe inatoa ahadi kwa malipo atakayetembelea,atakaye bofya ads hizo hazitakiwi kabisa
  8. Kushawishi kwa matangazo ya uongo- Hizi website haziruhusiwi kabisa inatakiwa kuwa mkweli na mwaminifu katika website yako
  9. Picha za kutisha kama kuvunjika mfupa,ajali mbaya,nguo za kubana,fupi,picha za kupigana,groly video kwa hiyo wanaruhusu boxing na martial arts page tuu
  10. Website ambayo inahusika na silaha kama visu,bomb,bunduki haziruhusiwi
  11. Website ambayo inahusika na kugushi document mbalimbali kama vitambulisho,vyeti
  12. Website ambayo inahusika na vitu ambavyo sio halali kama kuuza bidhaa ambayo inatrade mark ya mwingine,maswala ya sex arts hizi website haziruhusiwi kujiunga
  • Copied Images
Google hawatakukubalia kama website yako inaimage ambazo umecopy kutoka google search, kwa hiyo wanaitaji picha halisi ulizopiga wewe mwenyewe.
  • Too much Ad networks 
Kabla kujiunga hakikisha unaondoa ads zote za makampuni  mengine ndipo ujiunge, Hii ni kwa sababu wanaogopa kuwa hata wakikubalia ads zao hazitaonekana kutokana na kuwa ads nyingi.
  • Sufficient Content
Website yako inatakiwa kuwa na post kuanzia kumi ulizoziandika mwenyewe na ziwe ndefu zisizokuwa na picha nyingi. Na avoid kucopy post nyingine na kuweka kwako inatakiwa uandike hizo posti ndipo wanaweza kukuballia
  • Domain Type and Age
Website yako inatakiwa iwe na domain ya kulipia na sio free kama .com na zingine sio blogspot japo hili sio lazima sana lakini ukihitaji wakukubalie haraka nunua dommain, Habari ya domain age ni kwa nchi kama india ndio wanafuata sana ambapo wanaitaji iwe imetimia miezi 6
  • Age Verification 
Unatakiwa uwe na miaka kuanzia 18 na kuendelea ndipo ujiunge na kampuni hili
  • Traffic 
Website yako inatakiwa kuwa na pageviews 50per day ndipo wanaweza kakakubalia
  • Relevants pages
Google adsense wanaitaji website yako iwe na pages zifutazo zilizoandikwa vizuri na kwa ukweli wa hali ya juu kwa sababu wanazisoma Privacy policy, disclaimer, about Us and contact forms. Kwemye hizo page tafadhari kama utaweka email weka email uliyojisajilia google ili wajue kuwa ni mtu halali. mfano click here kuona mifano ya hizo pages na jinsi zilivoandikwa KAMA WEBSITE YAKO HAINA HIZI KAMWE HAIWEZI KUKUBALIWA
  • Poor navigation
Website yako inatakiwa imuwezeshe na kumrahishisia mtembeleaji kuona content zako bila usumbufu na epukakutumia rangi kwenye blog post tumia black and white
  • Youtube Momentization
Hakikisha unapost video kwenye website yako ambazo umemomentise kwenye channnel yako kama hujamomentise usipost kwa sababu hawatakukuballia kamwe jinsi ya kumomentise tutaanda makala yake.

MUHIMU:HAKIKISHA WEBSITE YAKO INAKUWA SAFI NA HAINA MARANGI YANYOONEKANA

MAKALA ZINAZOFUATA
  • jinsi ya kujiunga(hatua)
  • jinsi ya kumomentise youtube video
  • kupitia terms na policy baada ya kukubaliwa
  • jinsi ya kuweka adsense code(blogs,wordpress,durplar)
  • jinsi ya kudownload adsense blog templates supported
  • jinsi ya kujiunga na paypal ili kuweza kupokea malipo
  • jinsi ya kuchanganya adsense codes na za makampuni mengine
  • jinsi ya kuongeza mapato yako yaani tricks mbalimbali
  • n,k
KWA MAONI AU SWALI ULIZA KWENYE COMMENT BOX NA NTAKUJIBU KWA UFASAHA 

HAIRUHUSIWI KUCOPY MAKALA HII BILA RUHUSA 

New Trick
Habari za wakati huu msomaji wa Blog yako pendwa ya Slaus Technologies Tz1 na Technology Homesite! Katika mfululizo wa makala za wiki hii, leo tutaangalia jinsi ya KUTUMIA  simu yako hio ya SmartPhone kama Mouse ya kompyuta.

FAIDA
>>>Hii inaweza kukusaidia pale ambapo hauna Mouse kwa ajili ya compyuta yako, au TouchPad ya Laptop yako haifanyi kazi! Yani inasumbua!

MAHITAJI
>>Utahitajika kuinstall program na App ntakazokupa hapa chini! Unaweza kutumia Apps mbalimbali na step ni hizihizi. Host file utaiinstall kwenye kompyuta yako na App utaiweka kwenye simu yako, halafu utaunga compyuta yako kwenye wireless ya simu yako au bluetooth! (Lengo la kuunga ni kuweka mawasiliano kati ya simu na kompyuta). kwa hio unaweza kutumia Bluetooth au Wireless! Zote ni sawa ila hapa nitaelezea Wireless.

HATUA KWA HATUA

1.  Download na install Monect kwenye simu yako HAPA!

Install Monect Portable


2. Kwenye PC yako download na install Monect Host kwa kuclik HAPA! File lina MB 28 tuu, kwa hio usiwasingizie Voda. Download na extract vilivyopo kwenye hio Zip File, na chagua lililoandikwa MonectHost, na uliinstall.


Download Host


KUMBUKA; Wakati unadownload hio host file, pc yako inaweza kukwambia kwamba hilo file ni Malicious, weka chagua keep file, ili kuweza kuendelea na step za mbele. See picture here>

Chagua Keep

>Na pia windows firewall inaweza ikakupa alert, we chagua Allow Access.

Allow Access

3.
Hakikisha simu na kompyuta yako umeviunganisha kwa Wi-fi. Kwenye simu nenda Setting>>>Mobile Networks>>>Tethering and Portable Hotspot, weka settings hapo then iweke ON, na uiunge kwenye PC yako.

4. Tufanye sasa kompyuta na simu yako zipo kwenye Wireless moja, na hio MonectHost umeifungua kwenye kompyuta yako, ifungue ile Monect App ya simu na chagua/click Search Host,ikitokea IP adress ya PC yako Connect. Kama unaijua IP ya compyuta yako, unaweza kuiingiza moja kwa moja. Kama inakataa ku connect, jaribu ku restart kompyuta yako na uhakikishe MonectHost umei install vizuri.

IP itaonekana ya PC yako

5. Ikishakuwa connected utaona options mbalimbali 12. Kila moja ina kazi yake, leo tutatumia Touch Pad, sababu ndio lengo la makala hii. Tazama picha hapa chini.

Options mbalimbali

6. Touch Pad inaifanya simu yako kuwa kama ile Mouse ya Laptop (TouchPad) na inakuwa sehemu ya kutembeza vidole, ku right click, ku scroll ,a ku select kama mouse ya kawaida. Kwa hio ifanyie mazoezi na utakuwa na uwezo wa kuitumia kwa umbali wowote ambapo Wireless itakuwa bado ipo connected.



7. Pia kuna options mbalimbali ambazo unaweza pia kuzitumia hapo.

Jifunze kuzitumia zote hizi

Kumbuka utaalamu huu umeletwa kwenu kwa ushirikiano wa Technology Homesite na Slaus Technologies Tz1 Team, na kama una swali usisite kutuandikia hapo chini kwenye comments, au wasiliana nasi kwaa njia hizi HAPA!

SOMA MAKALA NYINGINE KAMA HIZI HAPA!



Image result for ccna course PNG




Image result for ccna course banners


tutorial   hizi  zimeandaliwa kufundisha  sehemu ndogo ya network routing:    tutorials  hizi  chache zinatolewa bure,  kwa tutorial  ambazo ni advanced.   kama  ""connecting networks"" na nyingine za CCNP  utabonyeza  kitufe cha "register"   na hizo  utalipia

-si ruhusa  kuuza au kunakili  sehemu yoyote ya tutorial hizi
-si ruhusa kukata kipande katika sehemu ya tutorial hizi


kuona tutorials hizi  ni kwamba umekubali kanuni tajwa hapo  juu.   bonyeza " AGREE"  kuendelea

    AGREE

Related image



  kwa notes na uchambuzi wa vitabu na zone papers tembelea hapa  GO


ifuatayo ni program live android ya wanafunzi wa sekondari tanzania kidato cha nne na sita   .  ikiwa kwenye mfumo program ya simu    :   imezuiliwa kupakua SETUP .  pakua  uchambuzi wa fasihi simulizi,  baadhi ya mitihani ya mock,   na mitihani ya taifa........ tafadhari toa maoni yako hapa



Image result for android gif
si ruhusa kuuza mitihani hii: imetolewa bure
ni ruhusa kukopi na kuweka kwenye web yoyote

kwa notes na uchambuzi wa vitabu na zone papers tembelea hapa  GO

imeletwa kwenu na :
shamir suleman
shamilysaidi@gmail.com
+255-656-848274


click "HOME"  for  font interface

click icons to view contents   

click "download" to download

  Image result for tanzania secondary students                                             

                                                       DOWNLOAD FOR COMPUTER
                              kwa notes na uchambuzi wa vitabu na zone papers tembelea hapa  GO


ifuatayo ni mitihani ya wanafunzi wa sekondari tanzania kidato cha nne na sita  kuanzia 1990.  ikiwa kwenye mfumo program ya computa  na PDF  :   imezuiliwa kufanya biashara (si ruhusa kuuza)  tafadhari toa maoni yako hapa  



DOWNLOAD FORM FOUR COMPUTER SETUP download



DOWNLOAD FORM SIX    COMPUTER SETUP     download


DOWNLOAD FORM  TWO COMPUTER SOFTWARE   download


DOWNLOAD MOCK SETUP      download



DOWNLOAD FORM  TWO COMPUTER SOFTWARE     download




DOWNLOAD FORM  FOUR ANSWERS PAST PAPERS SOFTWARE     download


DOWNLOAD FULL COURSE QT NA PC   COMPUTER SETUP  download 

DOWNLOAD PDF DOCUMENT




DOWNLOAD FORM FOUR PDF PAPERS           download

DOWNLOAD FORM   SIX   PDF PAPERS          download

DOWNLOAD FORM TWO   PDF PAPERS         download

DOWNLOAD MOCK    PDF PAPERS                  download

DOWNLOAD FULL COURSE QT NA PC   PDF               download  

 
si ruhusa kuuza mitihani hii: imetolewa bure
ni ruhusa kukopi na kuweka kwenye web yoyote

kwa notes na uchambuzi wa vitabu na zone papers tembelea hapa  GO

imeletwa kwenu na :
shamir suleman
shamilysaidi@gmail.com
+255-656-848274


Related image

                                course   for only  tanzanian / or east africa students

       
karibu kujiunga  na group  la wasap kujifunza kozi zifuatazo  zipo  tano  kwa  shilingi  elfu tano tu:
lengo ni kutoa elimu kwa wafanyakazi ambao wanapambana na changamoto kadhaa katika masuala ya information technology,  pamoja na wanafunzi kuwaongezea ufahamu zaid, tumeweka  gharama ndogo sana ambayo haifanani na uzito wa elimu itayotolewa ili kila mmoja aweze kumudu.  masomo yanaendeshwa kwa vitendo ni vema mwanafunzi awe na computer kwa ajili ya mazoezi.....

baada ya kujisajiri  hapa  na kisha  utalipia kwenda namba 0656 848274  tigo pesa tu:  kisha utaunganishwa kwenye group.     jisajiri kwanza



join our temporary whatsap group (its not group for course) join

COURSES:

code                                            course name

ITC001         -computer hardware and software (it essentialls)
ITC002         -graphics design with adobe photoshop
ITC003         -database principles (MS EXCEL & MS ACCESS)
ITC004         -computer security (level 1)
ITC005         -designing driven blogs with html/javascript

                         additional  course

ITC006         -Microsoft  power point
ITC006         -Microsoft  publisher
ITC006         -Microsoft  word
ITC006         -Microsoft  excel
ITC006         -Microsoft  outlook
ITC006         -Microsoft  one note
ITC006         -Microsoft  info path
ITC006         -designing image with adobe image ready 7.0


DOWNLOAD COURSE MANUALS

  database principle manual.txt

computer hardware and software manual.txt

operating system win 7 manual.txt

power point Manual.txt

microsoft word manual.txt

Security Procedure Manual.txt

microsoft excel Manual.txt



Image result for it tech  issues png

 prepared by: shamir sulaiman
all right received +255-656-848274 
shamilysaidi@gmail.com tanzania -dodoma


register here for more tutorials




namna ya kutafuta  drivers za komputa  kama
-audio drivers
-graphics drivers
-network card drivers

Image result for GRAPHIC  DRIVERS PNG




    namna ya kujiunga na google addsence
    kwa ajili ya blogs
Image result for adsense PNG



namna ya kutengeneza android apps bila code
lecture one
Image result for android app PNG



namna ya kutengeneza android apps bila code
lecture two
Image result for android app PNG



windows  recovery
namna ya kufanya window troubleshooting
Image result for window recover png



fanya back up google drive
namna ya kutengeneza  download link (html)
namna ya kuweka audios na videos kwenye server
namna ya kutengeneza link na kushea kwenye blog

Related image




namna ya kurejesha gmail account
ambayo imesahaulika password
Image result for gmail recover  png





namna ya kutengeneza create pdf
kutoka word, au ppt  au publisher au excel
kwenda pdf   na  kuweka password kwenye file

Image result for create pdf  png




namna ya kutengeneza bootable flash au CD

Image result for bootable flash gif


windows installation  requirements
customer requirements
hardware compatibility
windows editions
processor architectures


Image result for wondow loading gif





namna ya kuondoa password kwenye computa
kuingia kwenye  computa yenye password kama
password imesahaulika

download software hiyo hapa kisha  tengeneza kuwa bootable katika
flash.  kujua namna ya kutengeneza bootable  rejea  darasa la juu

download image  
Image result for computer password  png





audio editing  and cutting

Image result for sound system  gif



Medson

{facebook#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {twitter#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {google-plus#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {pinterest#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {youtube#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {instagram#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL}

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget