Jiunge na seebait ili uweze kupublish ad kwenye blog yako

Hii ni kampuni inayokuwezesha kutangaza ads kwenye blog yako na pia kwa maadvertiser wana uwezo wa kuingia mkataba nao na kuanza kutangaza biashara zao mbalimbali. Kama bado mmiliki wa blog ujajiunga bado ujachelewa jiunge sasa na ufurahie malipo mazuri kutoka kwenye hii kampuni.
Seebait logo big

Inalipa kutokana na impression na clicks kwenye ads ambazo zitakuwa kwenye blog yako. Kujiunga ingia seebait.com na ufuate maelekezo kama ifuatavyo

1.ingia seebait.com
2. scroll down hadi ukiona publisher
3. shuka chini hadi utakapoona signup/login here
4.click hapo
5.itakuletea option za kusign up sign up kwa kutumia gmail account yako na ufuate maelekezo ya kujiunga
6. kwa advertiser shuka chini hadi utakpoona neno advertise baada ya kufungua seebait.com hapo utajiunga na kufurahia huduma nzuri za matangazo

KUMBUKA WEBSITE HII INA MASHARTI NA VIGEZO VYAKE INGIA HAPA KABLA NHUJAJIUNGA
https://seebait.com/publisher/terms-and-conditions

KAMA UNA SWALI COMMENT CHINI
Labels:

Post a Comment

Medson

{facebook#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {twitter#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {google-plus#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {pinterest#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {youtube#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {instagram#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL}

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget